JavaScript

This website requires the use of Javascript Explain This   to function correctly. Performance and usage will suffer if it remains disabled.

Onyesha kama:

orodha
miraba fito

Pangilia kwa:


Vinjari kwa Muundo:


 

Maktaba: Vitabu na Vijitabu


Uwezekano Wa Kustaajabisha Wa Mwanadamu

na David C. Pack

Jiandae kuduwazwa—kustaajabishwa amini usiamini! Ukweli wa ajabu umebaki mafichoni—umezuiliwa—usieleweke kwa wanadamu wote kwa miaka 2,000. Ulimwengu uliodanganywa umezuiliwa usielewe KIJENZI MUHIMU KINACHOKOSEKANA katika kumaliza matatizo ya mwanadamu. Wanasayansi, wanateolojia, waelimishaji…
Hifadhi ili kusoma baadaye

Injili Ya Kweli Ni Ipi?

na David C. Pack

Yesu na mitume walihubiri “injili”! Lakini ni kitu gani? Je, unajua? Je, ilikuwa ni injili ile ile ambayo Paulo alihubiri kwa watu wa Mataifa? Je, neno “injili” lina maana gani basi? Haya hapa ni majibu kutoka ndani ya Biblia yako!
Hifadhi ili kusoma baadaye

Asili ya Kweli ya Krismasi

na David C. Pack

Krismasi ilianzia wapi? Kutoka kwenye Biblia au kwenye upagani? Ni nini hasa asili ya Baba Krismasi—mlimbo—mikrismasi—Mashada ya mholi—na desturi ya kupelekeana zawadi? Wengi wanajishughulisha juu ya “kumrudisha Kristo ndani ya Krismasi.” Je Aliwahi kuwa humo? Haya hapa ni majibu…
Hifadhi ili kusoma baadaye

Asili ya Kweli ya Isita

na David C. Pack

Isita (Pasaka isiyokuwa ya Wayahudi) ni utamaduni wa ulimwengu mzima unaohusisha desturi ambazo watu wanaamini ni za Kikristo. Asili ya Kwaresima na ibada za maawio ya jua ni nini? Ni kwa jinsi gani sungura, mayai na maandazi ya moto yenye alama ya msalaba vilikuja kuhusishwa na Kufufuka kwa Kristo?…
Hifadhi ili kusoma baadaye

Liko Wapi Kanisa la Mungu?

na David C. Pack

Je! Kristo alijenga Kanisa moja, lililounganika, lenye utaratibu? Au Kanisa Lake limegawanyika? Alisema, “Nitalijenga KANISA LANGU”—si “makanisa,” “mashirika,” “vikundi,” “madhehebu” au “jamii za waumini.” Aliahidi kwamba “milango ya kuzimu haitalishinda.” Liko wapi na
Hifadhi ili kusoma baadaye

Jinsi Dini Inavyokudanganya Kuhusu Mustakabali Wako wa Kustaajabisha

na David C. Pack

Ukweli wa injili—kusudi la Mungu la kustaajabisha kwa ajili ya mwanadamu—umefichwa. Hufafanua kwa nini ulizaliwa. Ni maarifa ya kushangaza! Yatakuacha umepigwa bumbuazi. Maarifa haya ya ajabu yamefunuliwa sasa—sambamba na njama ya kuyazuia!
Hifadhi ili kusoma baadaye

Kwa nini Unaishi?

na David C. Pack

KWA NINI unaishi—KWA NINI ulizaliwa? Maana ya maisha yako ni nini? Je uliwekwa Hapa kwa sababu? Unaweza kujua—lazima ujue!
Hifadhi ili kusoma baadaye

Nini Thawabu Yako Katika Maisha Yajayo?

na David C. Pack

Hakuna kitu kisichoeleweka zaidi kuliko wokovu. Kwa nini watu wengi wamechanganyikiwa—wamedanganyika—kuhusu kile watakachofanya baada ya maisha haya? Je, wokovu huja kwa neema au kwa njia ya matendo—na tofauti yake ni nini? Kwa namna gani—kwa vigezo vipi—watu hulipwa katika maisha yajayo?…
Hifadhi ili kusoma baadaye

Shetani ni Nani?

na David C. Pack

Hivi shetani ni nani? Biblia humwita “mungu wa ulimwengu huu.” Lakini alitoka wapi? Je Mungu alimuumba kama alivyo? Je, yeye ni roho aliyeanguka? Haya hapa ni majibu kutoka katika Neno la Mungu!
Hifadhi ili kusoma baadaye

Ufalme wa Mungu ni Nini?

na David C. Pack

UFALME WA MUNGU ni nini—na unaonekana lini? Je, uko mbinguni? Je, ni Himaya ya Uingereza? Je, ni kanisa la watu wote? Je, ni milenia? Je, “uko katika mioyo ya wanadamu” au tu “wema ulio ndani ya kila mtu”? Mamilioni wanaamini fikira hizi za watu wengi—lakini zote ni za uongo!…
Hifadhi ili kusoma baadaye

Jinsi Ufalme wa Mungu Utakavyokuja – Kisa Ambacho Hakijawahisimuliwa!

na David C. Pack

Mabilioni wanasubiri Kurudi kwa Yesu Kristo kusimamisha Ufalme wa Mungu. Lakini wachache wanajua jinsi gani Atafanya hivi. Jambo hili halitatokea namna ambavyo wengi wanatarajia. Kijitabu hiki kina kisa cha ajabu, ambacho-kamwe-hakijawahisimuliwa cha jinsi ambavyo Ufalme wa Mungu utakavyosimamishwa…
Hifadhi ili kusoma baadaye

Hili Hapa Ndilo Kanisa la Mungu Rejeshwa

na David C. Pack

Wengi huuliza: Kanisa la Mungu Rejeshwa ni nini? Kwa hakika sisi ni Kanisa la namna ya peke yake—ambalo washiriki wake wamedhamiria kuiacha nuru yao iangaze katika ulimwengu unaohitaji sana nuru! Hii hapa ni historia mahsusi ya Kanisa lenye kuhamasishwa na imani ya kina, inayotokana na uelewa…
Hifadhi ili kusoma baadaye